Maelezo ya Chini
a Watu fulani wamesema kuwa kuna uwezekano wa kwamba Mungu alifanya wanyama hao walale usingizi muzito, unaofanana na ule wa wanyama fulani wanaolala usingizi muzito wakati wa kipindi cha baridi, na kwamba kwa kuwatia katika hali hiyo ya usingizi, Mungu alifanya wanyama hao wasihitaji kula chakula kingi. Iwe Mungu alifanya hivyo ao hapana, bila shaka alitimiza ahadi yake, kwa kuwalinda salama na kuwaokoa watu na wanyama wote ambao walikuwa ndani ya safina.