Maelezo ya Chini
b Siku 15 Nisani ilianza jua liliposhuka. Sabato (Siku ya Posho) ya kila juma ya mwaka huo ilitokea kwa wakati mumoja na siku ya kwanza ya Sikukuu ya Keki Zisizotiwa Chachu ambayo mara nyingi ilikuwa Sabato. Kwa kuwa Sabato hizo mbili zilitokea wakati mumoja, zilikuwa Sabato ‘kubwa.’—Soma Yohana 19:31, 42.