Maelezo ya Chini
c Wale watakaofufuliwa ili waishi duniani watapewa uzima wa milele, lakini hawatapewa hali ya kutoweza kufa. Ukipenda kujua tofauti kati ya hali ya kutoweza kufa, na uzima wa milele, soma Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 4, 1984, ukurasa wa 30 na wa 31 (Kifaransa).