Maelezo ya Chini
a Kwa mufano, wakati fulani Waisraeli walishindwa katika vita yenye walipigana na Waamaleki na Wakanaani kwa sababu Mungu alikuwa amewakataza kufanya hivyo. (Hesabu 14:41-45) Miaka mingi kisha hapo, Mufalme muaminifu Yosia alipigana vita bila Mungu kumuruhusu, na alikufa kwa sababu ya kutenda hivyo bila kufikiri.—2 Mambo ya Nyakati 35:20-24.