Maelezo ya Chini
b Jina Eliezeri halitajwe katika habari hiyo, lakini inawezekana mutumishi mwenye kuzungumuziwa katika habari hiyo ni yeye. Wakati fulani Abrahamu alisema Eliezeri ariti mali yake yote ikiwa anakufa bila kuwa na muriti, kwa hiyo Eliezeri ndiye alikuwa mukubwa zaidi na mwenye kutumainika kati ya watumishi wa Abrahamu. Ni vile pia mutumishi mwenye kutajwa katika habari hiyo anaelezwa.—Mwanzo 15:2; 24:2-4.