Maelezo ya Chini
a Hana alimuahidi Yehova kama ikiwa angezaa mutoto mwanaume, mutoto huyo angekuwa Munaziri maisha yake yote. Hilo lilimaanisha kama mutoto wake mwanaume angetolewa kwa Mungu na kutiwa pembeni kwa ajili ya kazi ya Yehova.—Hesabu 6:2, 5, 8.