Maelezo ya Chini
a Kwa mama fulani wenye wanashuka moyo kisha tu kuzaa, inaweza kuwa nguvu kufanya uhusiano wa karibu pamoja na watoto wao. Lakini, hawapaswe kufikiri kuwa ni kosa lao. Kulingana na Institut national de la santé mentale ya États-Unis, kushuka moyo kisha tu kuzaa “inaonekana kuwa kunatokana na matatizo ya kimwili na namna mutu anajisikia . . . lakini hakutokane na jambo fulani lenye mama anafanya ao hafanye.” Ili kupata maelezo zaidi juu ya habari hii, Ona habari “Kuelewa Mshuko wa Moyo Baada ya Kujifungua” katika Amuka! ya tarehe 8 Mwezi wa 6, 2003.