Maelezo ya Chini
b Ni jambo lenye kupatana na akili kuwaza kama watu fulani wenye wataokoka Armagedoni watakuwa na uzaifu mbalimbali wa kimwili. Wakati Yesu alikuwa ku dunia, aliponyesha watu wenye walikuwa na “kila namna ya uzaifu,” ao kila namna ya ulemavu. Mambo yenye alifanya wakati huo yanaonyesha mambo yenye atafanyia wale wenye wataokoka Armagedoni. (Mt. 9:35) Wale wenye watafufuliwa, watakuwa na miili yenye afya ya muzuri.