Maelezo ya Chini
a Andiko letu la mwaka wa 2020 linatutia moyo ‘tufanye wanafunzi.’ Watumishi wote wa Yehova wanapaswa kutii amri hiyo. Namna gani tunaweza kugusa mioyo ya wanafunzi wetu ili wakuwe wanafunzi wa Kristo? Habari hii itatuonyesha namna tunaweza kusaidia wanafunzi wetu wa Biblia wamukaribie Yehova zaidi. Tutazungumuzia pia namna ya kuamua ikiwa tutaendelea kujifunza Biblia na mutu fulani ao hapana.