Maelezo ya Chini
a Kuanzia Pentekoste ya mwaka wa 33 mupaka leo, Yehova amepatia Wakristo fulani tumaini la muzuri sana, ni kusema, tumaini la kutawala pamoja na Mwana wake mbinguni. Lakini, namna gani Wakristo hao wanajuaka kama wamechaguliwa ili kupata pendeleo hilo la muzuri sana? Ni nini inatokea wakati mutu anapata mwaliko huo? Habari hii inategemea habari moja yenye ilitolewa mu Munara wa Mulinzi wa Mwezi wa 1, 2016. Itajibu ile maulizo yenye kupendeza.