Maelezo ya Chini
a Mwaka huu, Ukumbusho wa Kifo cha Kristo utafanywa Siku ya Pili, tarehe 7 Mwezi wa 4. Namna gani tunapaswa kuona wale wenye watakula mukate na kunywa divai mangaribi hiyo? Tunapaswa kuhangaika kwa sababu hesabu ya wale wenye wanakula mukate na kunywa divai inaendelea kuongezeka? Tutapata majibu ya ile maulizo katika habari hii, yenye kutegemea habari yenye ilitolewa mu gazeti Munara wa Mulinzi la Mwezi wa 1, 2016.