Maelezo ya Chini
a Mara mingi, tunamuona Yehova kuwa Muumbaji wetu na Mutawala wetu Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi. Lakini, tuko na sababu za kumuona Yehova kuwa Baba mwenye anatupenda na kutuhangaikia. Habari hii itazungumuzia sababu hizo. Pia, tutajifunza juu ya nini tunaweza kuwa hakika kama Yehova hawezi kutuacha hata kidogo.