Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA PICHA: Kila picha kati ya picha hizi ine inaonyesha baba pamoja na mutoto wake: baba anamusikiliza mutoto wake mwanaume kwa uangalifu, baba anamutimizia mutoto wake mwanamuke mahitaji yake, baba anamuzoeza mutoto wake mwanaume, na baba anamufariji mutoto wake mwanaume. Mukono wa Yehova wenye kuchapwa nyuma ya picha hizo ine unatukumbusha kama Yehova naye anatuhangaikia katika njia hizo.