Maelezo ya Chini
a Kwa sababu tuko wanadamu wenye hawakamilike, tuko haraka kuwa na mawazo ya mubaya juu watu na nia zao. Lakini Yehova yeye “anaona ndani ya moyo.” (1 Sa. 16:7) Habari hii itazungumuzia namna Yehova alisaidia kwa upendo Yona, Eliya, Hagari, na Loti. Na itatusaidia tumuige Yehova katika namna tunatendea ndugu na dada zetu.