Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Kuko mambo mingi yenye inaweza kufanya tujisikie kuwa wazaifu. Tunaweza kujisikia vile kwa sababu hatukamilike, kwa sababu ya magonjwa, umaskini, ao kwa sababu hatukusoma mingi. Zaidi ya ile, maadui wetu wanajaribu kutufanya tujione kuwa wazaifu kwa kutushambulia kupitia maneno ao kwa kututesa kimwili.