Maelezo ya Chini
c MAFASIRIO YA PICHA: Wakati Paulo alianza kuhubiri juu ya Kristo, aliacha vitu vyenye alitumia katika maisha yake ya zamani akiwa Mufarisayo. Pengine vile vitu vilitia ndani vitabu fulani vya kukunjwa, na kisanduku chenye kuwa na maandiko ndani.