Maelezo ya Chini
a Mutu munyenyekevu anasikiliaka wengine huruma. Yehova anasikiliaka wengine huruma, njo maana tunaweza kusema kama iko munyenyekevu. Katika habari hii, tutaona namna mufano wa Yehova unaweza kutusaidia tukuwe wanyenyekevu. Tutaona pia mambo yenye mufano wa Mufalme Sauli, nabii Danieli, na Yesu unatufundisha kuhusu sifa ya kiasi.