Maelezo ya Chini
a Yesu aliita wanaume fulani wenye walikuwa wanafanya kazi ya kuvua samaki ili wakuwe wanafunzi wake. Wale wanaume walikuwa wanyenyekevu na walikuwa na bidii mu kazi yao. Leo pia, Yesu iko anaita watu wenye wako na zile sifa ili wakuwe wavuvi wa watu. Mu hii habari tutazungumuzia mambo yenye wanafunzi wa Biblia wenye wako wanaogopa kuwa wavuvi wa watu wanapaswa kufanya.