Maelezo ya Chini
a Dada zetu Wakristo wanapataka magumu mingi. Mu hii habari tutaona namna tunaweza kuwategemeza. Tutazungumuzia namna Yesu alikuwa anapitisha wakati pamoja na wanamuke, namna aliwaonyesha kama anawaona kuwa wa maana, na namna alikuwa anawasemea. Kisha tutaona namna tunaweza kuiga mufano wake.