Maelezo ya Chini
c Kitabu kimoja chenye kuzungumuzia Biblia kinasema hivi: “Wanafunzi wenye walikuwa wanapenda kukuwa walimu njo walikuwa wanakaa kwenye miguu ya walimu wao. Lakini wanamuke hawakuruhusiwa kuwa walimu. . . . Njo maana wanaume wengi Wayahudi hawangefurahi ikiwa wangeona Maria anakaa kwenye miguu ya Yesu ili kusikiliza mafundisho ya Yesu.”