Maelezo ya Chini
a Kufundisha mutu maana yake kumusaidia afikiri na atende mu njia ya mupya. Andiko letu la mwaka wa 2020, Matayo 28:19, lilitukumbusha kama ni jambo la maana kujifunza na watu Biblia ili wafikie kubatizwa na kuwa wanafunzi wa Yesu Kristo. Mu hii habari na mu habari yenye kufuata, tutaona mambo yenye inaweza kutusaidia ili tufanye muzuri zaidi ile kazi ya kufundisha.