Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Kama unajifunzaka na mutu kwa ukawaida ili kumusaidia aelewe mafundisho ya musingi ya Biblia, uko unaongoza funzo la Biblia. Unaweza kuripoti funzo kama ulishazungumuza na ule mutu mara mbili kisha kumuonyesha namna tunajifunzaka na watu Biblia, na ikiwa unaona kama ataendelea kujifunza.