Maelezo ya Chini
a Yesu aliambia wafuasi wake wafanye wanafunzi na wawafundishe kushika mambo yote yenye alikuwa amewaamuru. Hii habari inazungumuzia namna tunaweza kufanya vile. Sehemu fulani ya habari hii inategemea habari yenye ilitolewa mu Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 7, 2004 ukurasa wa 14-19.