Maelezo ya Chini
a Yehova alipanga mwanamuke mwenye kuolewa akuwe anajitiisha kwa bwana yake. Ile inamaanisha nini? Bwana na bibi Wakristo wanaweza kujifunza mambo mingi kwa kufikiria mufano wa Yesu na wa wanamuke fulani wenye kuzungumuziwa katika Biblia.