Maelezo ya Chini
a Juu tuko Wakristo wa kweli, tunapaswa “kufuata hatua [za Yesu] kwa ukaribu.” Yesu alituachia “hatua” gani zenye tunapaswa kufuata? Hii habari itajibia ile ulizo. Itazungumuzia pia juu ya nini tunapaswa kufuata hatua zake kwa ukaribu, na namna gani tunaweza kufanya vile.