Maelezo ya Chini
c MAFASIRIO YA PICHA Mbele Paulo ajifunze kweli, alitesa Wakristo na alipeleka wengi kati yao mu gereza. Wakati Paulo alikubali mambo yenye Yesu alikuwa amemufanyia, alibadilika na akatia moyo ndugu zake Wakristo. Na inawezekana wamoja kati yao walikuwa na watu wa familia wenye Paulo alitesaka.