Maelezo ya Chini
a Juu hatukamilike tunaweza kufanya ao kusema mambo yenye inaweza kukwaza ndugu na dada zetu. Tunaweza kufanya nini kama hali ya vile inatokea? Unajikazaka kurudisha amani? Unakuwaka tayari kusamehe? Ao unasemaka, kama anakwazika ile inamuangalia ye peke, hapana miye? Unakwazikaka mbio-mbio kama wengine wanafanya ao wanasema mambo yenye haikufurahishe? Ao unasemaka, vile tu njo miye nakuwaka? Ao unaelewaka kama ile njo uzaifu wako na kama unapaswa kubadilika?