Maelezo ya Chini
a Tunamupenda Yehova sana na tunapenda kumufurahisha. Yehova ni mutakatifu na anatazamia waabudu wake wakuwe pia watakatifu. Je, ile inawezekana kabisa kwa wanadamu wenye hawakamilike? Ndiyo, inawezekana. Tunaweza kujifunza namna ya kuwa watakatifu mu mambo yote yenye tunafanya wakati tunachunguza mambo yenye mutume Petro aliambia Wakristo na mambo yenye Yehova aliamuru taifa ya Israeli kufanya.