Maelezo ya Chini
a Timoteo alikuwa muhubiri wa habari njema mwenye uzoefu. Lakini mutume Paulo alimutia moyo aendelee kufanya maendeleo ya kiroho. Juu Timoteo alifuata shauri ya Paulo, Yehova alimutumia zaidi na alisaidia sana ndugu na dada zake. Sawa vile Timoteo, na weye unapenda kumutumikia sana Yehova na pia waamini wenzako? Bila shaka unapenda. Ni miradi gani yenye inaweza kukusaidia kufanya vile? Na unapaswa kufanya nini juu ya kujiwekea na kufikia ile miradi?