Maelezo ya Chini
a Yehova iko tayari kusamehe watenda-zambi wenye wanatubu. Juu tuko Wakristo, tunapenda kuiga mufano wake kwa kusamehe wakati mutu fulani anatukosea. Mu hii habari, tutazungumuzia zambi ao makosa yenye tunaweza kusamehe kipekee na zambi zenye inaomba kujulisha wazee. Tutazungumuzia pia juu ya nini Yehova anapenda tusameheane na baraka zenye tutapata kama tunafanya vile.