Maelezo ya Chini
a Wakati tunafikiria mutu mwenye alivumiliaka magumu ya nguvu sana, mara mingi tunamukumbukaka Yobu. Mambo yenye ilimufikia inaweza kutufundisha nini? Inatufundisha kama Shetani hawezi kutukaza tumuache Yehova. Inatufundisha pia kama sikuzote Yehova anajua mambo yote yenye iko natufikia. Na sawa vile Yehova alimaliza magumu ya Yobu, siku moya atamaliza pia magumu yetu. Ikiwa tunaonyesha kupitia matendo yetu kama tunaamini vile, ile inaonyesha kama ‘tunamutumainia [kabisa] Yehova.’