Maelezo ya Chini
c Unaweza kupata habari mingi zenye zinazungumuzia unabii wa Biblia chini ya habari “Prophéties” mu Index des publications des Témoins de Jéhovah. Kwa mufano, ona habari “Yale Anayotabiri Yehova Yanatimia” yenye kuwa mu Munara wa Mulinzi wa tarehe 1 Mwezi wa 1, 2008.