Maelezo ya Chini
a Yehova aliita njia kubwa ya mufano yenye ilitoka Babiloni mupaka Israeli kuwa “Njia ya Utakatifu.” Yehova alifungula pia njia kwa ajili ya watu wake leo? Ndiyo! Kuanzia 1919 K.K.Y., mamilioni ya watu walianza kutoka mu Babiloni mukubwa na kuanza kutembea mu “Njia ya Utakatifu.” Siye wote tunapaswa kuendelea kutembea mu ile njia mupaka itufikishe ku mwisho wa safari yetu.