Maelezo ya Chini
a Mu 1 Watesalonike sura ya 5, muko mifano mbalimbali yenye inatufundisha mambo fulani kuhusu siku ya Yehova yenye itakuya. Ile “siku” ni nini, na itakuya namna gani? Nani njo wataokoka? Nani njo hawataokoka? Tunaweza kufanya nini ili kuwa tayari kwa ajili ya ile siku? Tutazungumuzia maneno ya mutume Paulo na tutajibia ile maulizo.