Maelezo ya Chini
a Kuanzia wakati wa Adamu na Eva, Shetani anaendelea kufanya watu waamini kama wanapaswa kujiamulia wao wenyewe mambo ya muzuri na ya mubaya. Anapenda na siye tukuwe na ule mutazamo kuhusu sheria za Yehova na maagizo yoyote yenye tengenezo yake iko natupatia. Hii habari, itatusaidia tujilinde na roho ya mu hii ulimwengu yenye kutawaliwa na Shetani ya kupenda kujiamulia mambo ya kufanya. Itatusaidia pia tuazimie kumutii Yehova sikuzote.