Maelezo ya Chini
c Ku mwisho-mwisho wa miaka 40 yenye Waisraeli walipitisha mu jangwa, walikamata mamia ya maelfu ya wanyama wenye walinyanganya ku vita. (Hes. 31:32-34) Hata vile waliendelea kula mana mupaka wakati waliingia mu Inchi ya Ahadi.—Yos. 5:10-12.