Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Mutu mwenye amekomaa kiroho anaongozwa na roho ya Mungu, hapana hekima ya ulimwengu. Anafuata mufano wa Yesu, anapenda kubakia na uhusiano wa karibu pamoya na Yehova na anajitoa kwa upendo kwa ajili ya wengine.