a Hii ilikuwa hali ya pekee. Wakati bibi ao bwana anafanya uzinifu, Yehova halazimishe bibi ao bwana mwenye hana kosa abakie naye. Na hata, kupitia Yesu Yehova alionyesha kama bibi ao bwana mwenye hana kosa anaweza kuamua kuvunja ndoa.—Mt. 5:32; 19:9.