Maelezo ya Chini
f Biblia haitaye liste ya matendo ya ngono kati ya bibi na bwana yenye inaweza kuonwa kuwa safi ao machafu. Bibi na bwana Wakristo wanapaswa kukamata maamuzi yenye inaonyesha kama wanaheshimia Yehova, yenye inaonyesha kama kila mumoja wao anapenda kumufurahisha mwenzake, na yenye itawasaidia kuendelea kuwa na zamiri safi. Kwa kawaida, bibi na bwana hawapaswe kuzungumuzia ile mambo ya kipekee ya mu ndoa yao pamoya na watu wengine.