Maelezo ya Chini
b Kukusanywa kwa “vitu vyenye kuwa mbinguni” yenye Paulo anazungumuzia mu Waefeso 1:10, ni tofauti na kukusanywa kwa “watu wenye kuchaguliwa” yenye Yesu anazungumuzia mu Matayo 24:31 na Marko 13:27. Paulo anazungumuzia wakati wenye Yehova anachagua wale wenye watatawala pamoya na Yesu kwa kuwatia mafuta kwa roho takatifu. Yesu yeye anazungumuzia wakati wenye mabaki ya watiwa-mafuta wenye kuwa ku dunia watakusanywa pamoya mbinguni mu kipindi ya taabu kubwa.