Maelezo ya Chini
c Mu sala yenye Hana alitoa alitumikisha maneno yenye inafanana na maneno yenye kuwa mu maandishi ya Musa. Ile inaonyesha kama alikamata wakati wa kufikiri juu ya Maandiko. (Kum. 4:35; 8:18; 32:4, 39; 1 Sa. 2:2, 6, 7) Miaka mingi kisha pale, Maria mama ya Yesu alitumikisha maneno ya kumusifu Yehova yenye inafanana na maneno yenye Hana alitumikisha.—Lu. 1:46-55.