Maelezo ya Chini
a MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Mu desturi za mingi, benye kuoana banafanyaka naziri mbele ya Mungu siku ya ndoa yabo. Kisha pale, banafanyaka fete. Hata mu desturi zenye habafanyake fete ya ndoa, benye bataoana banapaswa kufuata kanuni za Biblia juu ya siku ya ndoa.