Maelezo ya Chini
a Dini za mingi za Kikristo zinafundishaka kama Ufalme wa Mungu uko mu moyo wa mutu. Kwa mufano, mu Amerika, Kanisa ya Kibatisti ya Kusini ilisema kama Ufalme wa Mungu ni sehemu ya “utawala wa Mungu mu moyo na mu maisha ya mutu.” Vilevile, mu kitabu Jesus of Nazareth, Papa Benedikto wa 16, alisema kama “Ufalme wa Mungu unakuya wakati tuko na moyo mutiifu.”