Maelezo ya Chini
b Kitabu New Catholic Encyclopedia, Toleo ya Pili, Buku ya 14, ukurasa wa 883-884, inasema hivi: “Wakati fulani kisha Wayahudi kutoka mu uhamisho walianza kuheshimia jina Yahweh kupita kiasi, na kwa hiyo pa nafasi yake wakaanza kutumia majina ya cheo ADONAI ao ELOHIMU.”