Maelezo ya Chini
a Haiko Neno tu njo malaika mwenye Mungu alikuwa natumia juu ya kufikishia viumbe vyake habari fulani na maagizo yake. Kwa mufano, alitumia malaika wengine juu ya kupatia Waisraeli wa zamani Sheria.—Matendo 7:53; Wagalatia 3:19; Waebrania 2:2, 3.