Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Waamaleki wanashambulia na kuteketeza Siklagi kwa moto (1-6)

        • Daudi anapata nguvu kutoka kwa Mungu (6)

      • Daudi anashinda Waamaleki (7-31)

        • Daudi anakamata tena watu wenye walikamatwa mateka (18, 19)

        • Agizo la Daudi kuhusu vitu vyenye vinachukuliwa katika vita (23, 24)

1 Samweli 30:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Negebu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:21, 31; 1 Sa. 27:5, 6
  • +Mwa 36:12; Kut 17:14; 1 Sa. 15:2; 27:8

1 Samweli 30:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 27:3

1 Samweli 30:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:42, 43

1 Samweli 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6; 31:1, 9; 34:19; 143:5

1 Samweli 30:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 22:20; 1 Fal. 2:26
  • +1 Sa. 23:9

1 Samweli 30:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 27:21; Amu 20:28; 1 Sa. 23:2, 11; 28:6
  • +1 Sa. 30:18; Zab 34:19

1 Samweli 30:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 23:13; 27:2

1 Samweli 30:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:21

1 Samweli 30:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho yake ikamurudia.”

1 Samweli 30:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Negebu ya.”

  • *

    Ao “Negebu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:18; 1 Fal. 1:38; 1Nya 18:17; Eze 25:16; Sef 2:5
  • +Yosh. 14:13

1 Samweli 30:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:14

1 Samweli 30:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:3

1 Samweli 30:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:8; Zab 34:19

1 Samweli 30:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:10

1 Samweli 30:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:8

1 Samweli 30:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:10
  • +Hes 31:27; Yosh. 22:8; Zab 68:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 24

1 Samweli 30:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “baraka.”

1 Samweli 30:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kusini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:4, 8
  • +Yosh. 15:20, 48; 21:8, 14

1 Samweli 30:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 50; 21:8, 14

1 Samweli 30:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 27:10; 1Nya 2:9
  • +Amu 1:16; 1 Sa. 15:6

1 Samweli 30:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:3; Yosh. 19:1, 4; Amu 1:17

1 Samweli 30:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 14:13; 2 Sa. 2:1

Maandiko ingine

1 Sam. 30:1Yosh. 15:21, 31; 1 Sa. 27:5, 6
1 Sam. 30:1Mwa 36:12; Kut 17:14; 1 Sa. 15:2; 27:8
1 Sam. 30:21 Sa. 27:3
1 Sam. 30:51 Sa. 25:42, 43
1 Sam. 30:6Zab 18:6; 31:1, 9; 34:19; 143:5
1 Sam. 30:71 Sa. 22:20; 1 Fal. 2:26
1 Sam. 30:71 Sa. 23:9
1 Sam. 30:8Hes 27:21; Amu 20:28; 1 Sa. 23:2, 11; 28:6
1 Sam. 30:81 Sa. 30:18; Zab 34:19
1 Sam. 30:91 Sa. 23:13; 27:2
1 Sam. 30:101 Sa. 30:21
1 Sam. 30:142 Sa. 8:18; 1 Fal. 1:38; 1Nya 18:17; Eze 25:16; Sef 2:5
1 Sam. 30:14Yosh. 14:13
1 Sam. 30:17Kut 17:14
1 Sam. 30:181 Sa. 30:3
1 Sam. 30:191 Sa. 30:8; Zab 34:19
1 Sam. 30:211 Sa. 30:10
1 Sam. 30:231 Sa. 30:8
1 Sam. 30:241 Sa. 30:10
1 Sam. 30:24Hes 31:27; Yosh. 22:8; Zab 68:12
1 Sam. 30:27Yosh. 19:4, 8
1 Sam. 30:27Yosh. 15:20, 48; 21:8, 14
1 Sam. 30:28Yosh. 15:20, 50; 21:8, 14
1 Sam. 30:291 Sa. 27:10; 1Nya 2:9
1 Sam. 30:29Amu 1:16; 1 Sa. 15:6
1 Sam. 30:30Hes 21:3; Yosh. 19:1, 4; Amu 1:17
1 Sam. 30:31Yosh. 14:13; 2 Sa. 2:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 30:1-31

Cha Kwanza cha Samweli

30 Wakati Daudi na watu wake walifika Siklagi+ siku ya tatu (3), Waamaleki+ walikuwa wameingia ili kushambulia upande wa kusini* na Siklagi, na walikuwa wameshambulia Siklagi na kuuteketeza kwa moto. 2 Walikuwa wamekamata mateka wanamuke+ na watu wote wenye walikuwa ndani yake, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi. Hawakumuua mutu yeyote, lakini walikuwa wamewabeba na kuenda zao. 3 Wakati Daudi na watu wake walifika katika muji, walikuta muji umeteketezwa kwa moto, na bibi zao na watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke walikuwa wamepelekwa wakiwa wametekwa. 4 Kwa hiyo Daudi na watu wenye walikuwa pamoja naye wakaanza kulia kwa sauti kubwa mupaka wakakosa nguvu za kuendelea kulia. 5 Bibi wawili wa Daudi walikuwa pia wamepelekwa wakiwa wametekwa, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili mujane wa Nabali Mukarmeli.+ 6 Daudi alihangaika sana, kwa sababu watu wake walikuwa wanasema apigwe majiwe, kwa maana watu wote walikuwa* na uchungu mwingi sana kwa kupoteza watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke. Lakini Daudi akajitia nguvu kwa musaada wa Yehova Mungu wake.+

7 Kisha Daudi akamuambia Abiatari+ kuhani, mwana wa Ahimeleki: “Tafazali leta ile efodi hapa.”+ Kwa hiyo Abiatari akamuletea Daudi ile efodi. 8 Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, nifuatilie kikundi hiki cha wanyanganyi? Je, nitawafikia?” Basi Akamuambia: “Uwafuatilie, kwa maana hakika utawafikia, na utakomboa.”+

9 Mara moja Daudi akaondoka na watu mia sita (600)+ wenye walikuwa pamoja naye, na wakaenda mupaka kwenye Bonde la Muto* la Besori, mahali kwenye wamoja kati ya wanaume hao walibakia nyuma. 10 Daudi akaendelea kuwafuatilia akiwa na watu mia ine (400), lakini watu mia mbili (200) wenye walikuwa wamechoka sana wasiweze kuvuka Bonde la Muto la Besori wakabakia nyuma.+

11 Wakamupata mwanaume fulani Mumisri katika eneo la mashamba na wakamupeleka kwa Daudi. Wakamupatia chakula na maji ya kunywa, 12 na pia kipande cha keki ya tini zenye zilifinywa-finywa na keki mbili za zabibu. Kisha kula, akapata nguvu,* kwa sababu hakukuwa amekula chakula chochote wala kunywa maji yoyote kwa siku tatu (3), muchana na usiku. 13 Sasa Daudi akamuuliza: “Uko mutu wa nani, na unatoka wapi?” akajibu: “Mimi ni mutumishi Mumisri, mutumwa wa Mwamaleki fulani, lakini bwana wangu aliniacha kwa sababu niligonjwa kumepita siku tatu (3). 14 Tulishambulia upande wa kusini wa* Wakereti+ na eneo la Yuda na upande wa kusini wa* Kalebu,+ na tuliteketeza Siklagi kwa moto.” 15 Daudi akamuambia: “Je, utaniongoza kushuka kuenda kwenye kikundi hicho cha wanyanganyi?” Akajibu: “Kama unaniapia katika jina la Mungu kwamba hautaniua na kwamba hautanitia katika mukono wa bwana wangu, nitakuongoza kushuka kuenda kwenye kikundi hicho cha wanyanganyi.”

16 Kwa hiyo akamuongoza kushuka kuenda mahali kwenye walikuwa wamesambaa kotekote juu ya inchi, wakikula na kunywa na kushangilia kwa sababu ya vitu vingi vyenye walikuwa wamechukua katika inchi ya Wafilisti na inchi ya Yuda. 17 Kisha Daudi akawapiga na kuwaua kuanzia giza la asubui mupaka mangaribi yenye ilifuata; hakuna mutu mwenye aliponyoka+ isipokuwa watu mia ine (400) wenye walikimbia wakiwa juu ya ngamia. 18 Daudi akapata tena vitu vyote vyenye Waamaleki walikuwa wamekamata,+ na akaokoa bibi zake wawili. 19 Hakuna kitu chao chenye kilikosekana, kuanzia kidogo zaidi mupaka kikubwa zaidi. Walipata tena watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke na vitu vyenye vilichukuliwa katika vita;+ Daudi alipata tena kila kitu chenye walikuwa wamekamata. 20 Kwa hiyo Daudi akakamata makundi yote na mifugo yote, wakatanguliza wanyama hao mbele ya mifugo yao wenyewe. Wakasema: “Hivi ni vitu vya Daudi vyenye vilichukuliwa katika vita.”

21 Kisha Daudi akafika kwa wale watu mia mbili (200) wenye walikuwa wamechoka sana wasiweze kuenda pamoja na Daudi na wenye walikuwa wamebakia nyuma karibu na Bonde la Muto la Besori,+ nao wakakuja kukutana na Daudi na watu wenye walikuwa pamoja naye. Wakati Daudi alifika karibu na watu hao, akawauliza hali yao. 22 Lakini, kila mutu mubaya na mwenye hana mafaa yoyote kati ya watu wenye walienda pamoja na Daudi akasema: “Kwa sababu hawakuenda pamoja na sisi, hatutawapatia kitu chochote kati ya vitu vyenye vilichukuliwa katika vita vyenye tulipata tena isipokuwa tu kila mumoja wao achukue bibi yake na wana wake na kuenda zake.” 23 Lakini Daudi akasema: “Hamupaswe kufanya vile, ndugu zangu, kuhusu vitu vyenye Yehova ametupatia. Alitulinda na kutia katika mukono wetu kikundi cha wanyanganyi chenye kilikuja kutushambulia.+ 24 Ni nani atakubaliana na ninyi katika jambo hili? Fungu la ule mwenye alishuka kuenda katika vita litakuwa sawa na la ule mwenye alikaa pembeni ya mizigo.+ Wote watapata fungu pamoja.”+ 25 Na kuanzia siku hiyo na kuendelea, akafanya jambo hilo kuwa agizo na sheria katika Israeli mupaka leo.

26 Wakati Daudi alirudia Siklagi, alituma sehemu fulani ya vitu vyenye vilichukuliwa katika vita kwa wazee wa Yuda wenye walikuwa marafiki wake, na kusema: “Hii ni zawadi* yenu kutoka katika vitu vyenye vilichukuliwa kutoka kwa maadui wa Yehova.” 27 Aliituma kwa wale wenye walikuwa Beteli,+ kwa wale wa muji wa Ramoti wa Negebu,* kwa wale wa Yatiri,+ 28 kwa wale wa Aroeri, kwa wale wa Sifmoti, kwa wale wa Estemoa,+ 29 kwa wale wa Rakali, kwa wale wa miji ya Wayerahmeeli,+ kwa wale wa miji ya Wakeni,+ 30 kwa wale wa Horma,+ kwa wale wa Borashani, kwa wale wa Ataki, 31 kwa wale wa Hebroni,+ na katika sehemu zote zenye Daudi na watu wake walizoea kutembelea.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine