Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 31
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Kifo cha Sauli na wana wake watatu (1-13)

1 Samweli 31:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:52; 29:1
  • +1 Sa. 28:4; 2 Sa. 1:21; 1Nya 10:1-5

1 Samweli 31:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:2
  • +1Nya 8:33

1 Samweli 31:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 1:4, 6

1 Samweli 31:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mubaya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:26; 2 Sa. 1:20
  • +1Nya 10:4

1 Samweli 31:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:10; 1Nya 10:13

1 Samweli 31:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 28:19; 1Nya 10:6, 7

1 Samweli 31:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eneo tambarare la chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:6

1 Samweli 31:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 28:4; 31:1; 2 Sa. 1:6; 1Nya 10:8-12

1 Samweli 31:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mahekalu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 1:20
  • +Amu 16:23

1 Samweli 31:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 17:11; Amu 1:27

1 Samweli 31:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 11:1, 9-11

1 Samweli 31:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:12
  • +2 Sa. 2:4, 5

Maandiko ingine

1 Sam. 31:11 Sa. 14:52; 29:1
1 Sam. 31:11 Sa. 28:4; 2 Sa. 1:21; 1Nya 10:1-5
1 Sam. 31:21 Sa. 13:2
1 Sam. 31:21Nya 8:33
1 Sam. 31:32 Sa. 1:4, 6
1 Sam. 31:41 Sa. 17:26; 2 Sa. 1:20
1 Sam. 31:41Nya 10:4
1 Sam. 31:51 Sa. 26:10; 1Nya 10:13
1 Sam. 31:61 Sa. 28:19; 1Nya 10:6, 7
1 Sam. 31:71 Sa. 13:6
1 Sam. 31:81 Sa. 28:4; 31:1; 2 Sa. 1:6; 1Nya 10:8-12
1 Sam. 31:92 Sa. 1:20
1 Sam. 31:9Amu 16:23
1 Sam. 31:10Yosh. 17:11; Amu 1:27
1 Sam. 31:111 Sa. 11:1, 9-11
1 Sam. 31:132 Sa. 21:12
1 Sam. 31:132 Sa. 2:4, 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 31:1-13

Cha Kwanza cha Samweli

31 Sasa Wafilisti walikuwa wanapigana na Israeli.+ Na watu wa Israeli wakakimbia kutoka mbele ya Wafilisti, na wengi wakaanguka wakiwa wameuawa kwenye Mulima Gilboa.+ 2 Wafilisti wakamukaribia sana Sauli na wana wake, na wakamupiga na kumuua Yonatani,+ Abinadabu, na Malki-shua, wana wa Sauli.+ 3 Pigano likakuwa kali sana juu ya Sauli, na wapiga-mishale wakamupata, na wapiga-mishale hao wakamuumiza sana.+ 4 Kisha Sauli akamuambia mubeba-silaha wake: “Chomoa upanga wako na unitoboe nao, ili watu hawa wenye hawatahiriwe+ wasikuje na kunitoboa na kunitendea bila huruma.”* Lakini mubeba-silaha wake hakutaka, kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akakamata upanga na kuuangukia.+ 5 Wakati mubeba-silaha wake aliona kwamba Sauli amekufa,+ yeye pia akaangukia upanga wake mwenyewe na akakufa pamoja naye. 6 Basi Sauli, wana wake watatu (3), mubeba-silaha wake, na watu wake wote wakakufa pamoja siku hiyo.+ 7 Wakati watu wa Israeli wenye walikuwa katika eneo la bonde* na katika eneo la Yordani waliona kwamba watu wa Israeli walikuwa wamekimbia na kwamba Sauli na wana wake wamekufa, wakaanza kuacha miji na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakakuja na kukaa ndani.

8 Siku yenye ilifuata, wakati Wafilisti walikuja kuondoa vitu kwenye miili ya watu wenye waliuawa, walimukuta Sauli na wana wake watatu (3) wakiwa wameanguka kwenye Mulima Gilboa.+ 9 Basi wakamukata kichwa na kuvua silaha zake na kutuma ujumbe katika inchi yote ya Wafilisti ili kueneza habari+ katika nyumba* za sanamu zao+ na kati ya watu. 10 Kisha wakatia silaha zake katika nyumba ya sanamu za Ashtoreti na wakafungia maiti yake kwenye ukuta wa Bet-shani.+ 11 Wakati wakaaji wa Yabeshi-gileadi+ walisikia mambo yenye Wafilisti walikuwa wamemutendea Sauli, 12 wapiganaji-vita wote wakasimama na kusafiri usiku wote na kuondoa miili ya Sauli na wana wake kwenye ukuta wa Bet-shani. Wakarudia Yabeshi na kuiteketeza kwa moto kule. 13 Kisha wakakamata mifupa yao+ na kuizika chini ya muti wa mukwaju katika Yabeshi,+ na wakafunga kwa siku saba (7).

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine