Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Sanduku katika eneo la Wafilisti (1-12)

        • Dagoni anapatishwa haya (1-5)

        • Wafilisti wanaletewa pigo (6-12)

1 Samweli 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 4:11

1 Samweli 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 16:23; 1Nya 10:8-10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2003, uku. 25

1 Samweli 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:12; 1Nya 16:26; Zab 97:7
  • +Isa 46:6, 7

1 Samweli 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Hapa kizingiti ni ubao wenye kuwa chini ya mulango.

  • *

    Tnn., “Ni Dagoni tu ndiye alibakia.”

1 Samweli 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Hapa kizingiti ni ubao wenye kuwa chini ya mulango.

1 Samweli 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bawasiri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 6:5, 6

1 Samweli 5:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:4

1 Samweli 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bawasiri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 5:6

1 Samweli 5:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 45; 2 Fal. 1:2; Amo 1:8
  • +1 Sa. 5:7

1 Samweli 5:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 5:6, 9

1 Samweli 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bawasiri.”

Maandiko ingine

1 Sam. 5:11 Sa. 4:11
1 Sam. 5:2Amu 16:23; 1Nya 10:8-10
1 Sam. 5:3Kut 12:12; 1Nya 16:26; Zab 97:7
1 Sam. 5:3Isa 46:6, 7
1 Sam. 5:61 Sa. 6:5, 6
1 Sam. 5:81 Sa. 17:4
1 Sam. 5:91 Sa. 5:6
1 Sam. 5:10Yosh. 15:20, 45; 2 Fal. 1:2; Amo 1:8
1 Sam. 5:101 Sa. 5:7
1 Sam. 5:111 Sa. 5:6, 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 5:1-12

Cha Kwanza cha Samweli

5 Wakati Wafilisti walikamata Sanduku+ la Mungu wa kweli, walilibeba kutoka Ebenezeri mupaka Ashdodi. 2 Wafilisti wakakamata Sanduku la Mungu wa kweli na kuliingiza katika nyumba ya* Dagoni na kulitia pembeni ya Dagoni.+ 3 Siku yenye ilifuata wakati Waashdodi waliamuka asubui sana, Dagoni alikuwa ameanguka uso chini kwenye udongo mbele ya Sanduku la Yehova.+ Kwa hiyo wakamukamata Dagoni na kumurudisha mahali pake.+ 4 Wakati waliamuka asubui sana siku yenye ilifuata, Dagoni alikuwa ameanguka uso chini mbele ya Sanduku la Yehova. Kichwa cha Dagoni na viganja vya mikono yake mbili vilikuwa vimekatwa na vilikuwa kwenye kizingiti.* Ni sehemu tu yenye umbo ya samaki ndiyo ilibakia.* 5 Ndiyo sababu mupaka leo, makuhani wa Dagoni na wote wenye wanaingia katika nyumba ya Dagoni hawakanyange kizingiti* cha Dagoni kule Ashdodi.

6 Mukono wa Yehova ulikuwa muzito juu ya Waashdodi, na akawaharibu kwa kupiga Ashdodi na maeneo yake kwa emoroide.*+ 7 Wakati watu wa Ashdodi waliona mambo yenye yalikuwa yanatokea, wakasema: “Musiache Sanduku la Mungu wa Israeli libakie pamoja na sisi, kwa sababu mukono wake umetutendea kwa ukali sisi pamoja na mungu wetu Dagoni.” 8 Kwa hiyo wakaitisha na kukusanya mabwana wote wa Wafilisti na kuwauliza: “Tufanyie nini Sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakajibu: “Muache Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishwe mupaka Gati.”+ Kwa hiyo wakahamishia Sanduku la Mungu wa Israeli kule.

9 Kisha wao kulihamishia kule, mukono wa Yehova ukakuja juu ya muji huo, na kuleta woga mukubwa. Akapiga wanaume wa muji huo, kuanzia mudogo mupaka mukubwa, na emoroide* zikawatoka.+ 10 Kwa hiyo wakatuma Sanduku la Mungu wa kweli kule Ekroni,+ lakini wakati tu Sanduku la Mungu wa kweli lilifika Ekroni, Waekroni wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Wametuletea Sanduku la Mungu wa Israeli ili watuue sisi pamoja na watu wetu!”+ 11 Kisha wakaitisha na kukusanya mabwana wote wa Wafilisti na kusema: “Muondoe hapa Sanduku la Mungu wa Israeli; muache lirudie mahali pake ili sisi pamoja na watu wetu tusiuawe.” Kwa maana woga mukubwa wa kifo ulikuwa umeenea katika muji wote; mukono wa Mungu wa kweli ulikuwa umekuwa muzito sana kule,+ 12 na watu wenye hawakukufa walikuwa wamepigwa na emoroide.* Na kilio cha muji huo cha kuomba musaada kikapanda mupaka mbinguni.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine