Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Sanduku katika muji wa Kiriat-yearimu (1)

      • Samweli anatia watu moyo: ‘Mumutumikie Yehova peke yake’ (2-6)

      • Ushindi wa Israeli kule Mispa (7-14)

      • Samweli anahukumu Israeli (15-17)

1 Samweli 7:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:2, 4; 1Nya 13:5, 7

1 Samweli 7:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kumuombolezea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:28

1 Samweli 7:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:24
  • +Yosh. 24:14, 23; Amu 3:7
  • +Amu 2:13; 10:6; 1 Fal. 11:33
  • +Kum 10:20; 13:4; Lu 4:8
  • +Kum 28:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 67

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2011, uku. 24-25

1 Samweli 7:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 10:16

1 Samweli 7:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 20:1; 1 Sa. 10:17; 2 Fal. 25:23; Yer 40:6
  • +1 Sa. 12:23; Yak 5:16

1 Samweli 7:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:3; Ne 9:1; Yoe 2:12
  • +Amu 10:10
  • +Amu 2:18

1 Samweli 7:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:2, 3; 1 Sa. 6:4

1 Samweli 7:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:19; Isa 37:4

1 Samweli 7:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:10
  • +Zab 99:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 22

1 Samweli 7:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:10; 2 Sa. 22:14
  • +Yosh. 10:10; Amu 4:15
  • +Kum 20:4; 28:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 70

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2011, uku. 25

1 Samweli 7:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Jiwe la Musaada.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 4:9; 24:26
  • +Zab 44:3

1 Samweli 7:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:16; 13:5
  • +1 Sa. 14:22, 23; 17:51

1 Samweli 7:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18, 21

1 Samweli 7:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 3:20; 12:11; 25:1; Mdo 13:20

1 Samweli 7:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 16:1
  • +Yosh. 15:7, 12; 1 Sa. 11:15
  • +1 Sa. 7:5

1 Samweli 7:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:1; 8:4; 19:18
  • +Kut 20:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 22

Maandiko ingine

1 Sam. 7:12 Sa. 6:2, 4; 1Nya 13:5, 7
1 Sam. 7:2Ne 9:28
1 Sam. 7:31 Sa. 12:24
1 Sam. 7:3Yosh. 24:14, 23; Amu 3:7
1 Sam. 7:3Amu 2:13; 10:6; 1 Fal. 11:33
1 Sam. 7:3Kum 10:20; 13:4; Lu 4:8
1 Sam. 7:3Kum 28:1
1 Sam. 7:4Amu 10:16
1 Sam. 7:5Amu 20:1; 1 Sa. 10:17; 2 Fal. 25:23; Yer 40:6
1 Sam. 7:51 Sa. 12:23; Yak 5:16
1 Sam. 7:62Nya 20:3; Ne 9:1; Yoe 2:12
1 Sam. 7:6Amu 10:10
1 Sam. 7:6Amu 2:18
1 Sam. 7:7Yosh. 13:2, 3; 1 Sa. 6:4
1 Sam. 7:81 Sa. 12:19; Isa 37:4
1 Sam. 7:9Law. 1:10
1 Sam. 7:9Zab 99:6
1 Sam. 7:101 Sa. 2:10; 2 Sa. 22:14
1 Sam. 7:10Yosh. 10:10; Amu 4:15
1 Sam. 7:10Kum 20:4; 28:7
1 Sam. 7:12Yosh. 4:9; 24:26
1 Sam. 7:12Zab 44:3
1 Sam. 7:131 Sa. 9:16; 13:5
1 Sam. 7:131 Sa. 14:22, 23; 17:51
1 Sam. 7:14Mwa 15:18, 21
1 Sam. 7:151 Sa. 3:20; 12:11; 25:1; Mdo 13:20
1 Sam. 7:16Yosh. 16:1
1 Sam. 7:16Yosh. 15:7, 12; 1 Sa. 11:15
1 Sam. 7:161 Sa. 7:5
1 Sam. 7:171 Sa. 1:1; 8:4; 19:18
1 Sam. 7:17Kut 20:25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 7:1-17

Cha Kwanza cha Samweli

7 Kwa hiyo watu wa Kiriat-yearimu wakakuja na wakachukua Sanduku la Yehova na kulipandisha katika nyumba ya Abinadabu+ juu ya kilima, na wakamutakasa Eleazari mwana wake ili alinde Sanduku la Yehova.

2 Wakati murefu ukapita, jumla ya miaka makumi mbili (20), tangu siku Sanduku hilo lilifika Kiriat-yearimu, na nyumba yote ya Israeli ikaanza kumutafuta* Yehova.+ 3 Kisha Samweli akaambia nyumba yote ya Israeli: “Kama munamurudilia Yehova kwa moyo wenu wote,+ muondoe miungu ya kigeni+ na sanamu za Ashtoreti+ kati yenu, na muelekeze moyo wenu kwa Yehova bila kuyumba-yumba na mumutumikie yeye peke yake,+ na atawaokoa katika mukono wa Wafilisti.”+ 4 Kwa hiyo Waisraeli wakaondoa Mabaali na sanamu za Ashtoreti na wakamutumikia Yehova peke yake.+

5 Kisha Samweli akasema: “Mukusanye Israeli wote kule Mispa,+ na nitasali kwa Yehova kwa ajili yenu.”+ 6 Kwa hiyo wakakusanyika pamoja kule Mispa, na wakashota maji na kuyamwanga mbele ya Yehova na wakafunga siku hiyo.+ Wakiwa kule wakasema: “Tumemutendea Yehova zambi.”+ Na Samweli akaanza kutumika akiwa muamuzi+ juu ya Waisraeli katika Mispa.

7 Wakati Wafilisti walisikia kwamba Waisraeli wamekusanyika pamoja kule Mispa, mabwana wa Wafilisti+ wakapanda ili kushambulia Waisraeli. Wakati Waisraeli walisikia habari hiyo, wakaogopa kwa sababu ya Wafilisti. 8 Kwa hiyo Waisraeli wakamuambia Samweli: “Usiache kumuomba Yehova Mungu wetu ili atusaidie+ na kutuokoa katika mukono wa Wafilisti.” 9 Basi Samweli akakamata mwana-kondoo mwenye kunyonya na kumutoa kuwa toleo nzima la kuteketezwa+ kwa Yehova; na Samweli akamuomba Yehova asaidie Waisraeli, na Yehova akamujibu.+ 10 Wakati Samweli alikuwa anatoa toleo hilo la kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli. Basi siku hiyo Yehova akaletea Wafilisti mungurumo mukubwa sana,+ Naye akawatia katika muvurugo,+ na wakashindwa mbele ya Israeli.+ 11 Kwa hiyo wanaume wa Israeli wakatoka Mispa na kufuatilia Wafilisti, wakawapiga na kuwaua mupaka upande wa kusini wa Bet-kari. 12 Kisha Samweli akakamata jiwe+ na kuliweka kati ya Mispa na Yeshana, na akaliita Ebenezeri,* kwa kuwa alisema: “Yehova ametusaidia mupaka sasa.”+ 13 Kwa hiyo Wafilisti wakatiishwa, na hawakukuja tena katika eneo la Israeli;+ na mukono wa Yehova ukaendelea kupiga Wafilisti siku zote za Samweli.+ 14 Pia, miji yenye Wafilisti walikuwa wamekamata kutoka kwa Israeli ikarudishwa kwa Israeli, kuanzia Ekroni mupaka Gati, na Israeli wakakomboa eneo lao katika mukono wa Wafilisti.

Pia kukakuwa amani kati ya Israeli na Waamori.+

15 Samweli akaendelea kuhukumu Israeli maisha yake yote.+ 16 Kila mwaka alisafiri na kuzunguka Beteli,+ Gilgali,+ na Mispa,+ na alihukumu Israeli katika maeneo hayo yote. 17 Lakini alikuwa anarudia Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa kule, na pia alihukumu Israeli kule. Alimujengea Yehova mazabahu kule.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine