Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Daudi anamushinda Goliati (1-58)

        • Goliati anazihaki Israeli (8-10)

        • Daudi anakubali kupigana na Goliati (32-37)

        • Daudi anapigana katika jina la Yehova (45-47)

1 Samweli 17:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kambi zao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:1, 3; 1 Sa. 9:16; 14:52
  • +2Nya 28:18
  • +Yosh. 15:20, 35; Yer 34:7
  • +1Nya 11:12, 13

1 Samweli 17:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 21:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 16

1 Samweli 17:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Urefu wake ulikuwa karibu metre 2.9 (futi 9 na inchi 5.75). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:23
  • +Yosh. 11:22; 2 Sa. 21:20, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 9, 10-13

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2006, uku. 9

    “Kila Andiko,” uku. 56

1 Samweli 17:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu kilograme 57 (ratili 125). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:38, 39; 1 Fal. 22:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2006, uku. 9

    “Kila Andiko,” uku. 56

1 Samweli 17:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:45

1 Samweli 17:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu kilograme 6.84 (ratili 15). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 20:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2006, uku. 9

    “Kila Andiko,” uku. 56

1 Samweli 17:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:55

1 Samweli 17:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninatafuta kupigana na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:26; 2 Fal. 19:22

1 Samweli 17:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:16, 19; Ru 1:2
  • +1 Sa. 17:58; Mik 5:2; Mt 2:6
  • +Ru 4:22
  • +1Nya 2:13-15

1 Samweli 17:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 1:3
  • +1 Sa. 16:6
  • +1 Sa. 16:8
  • +1 Sa. 16:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 29

1 Samweli 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 2:13, 15

1 Samweli 17:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:11, 19

1 Samweli 17:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu litre 22 (vibaba 20). Angalia Nyongeza B14.

1 Samweli 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “fromage.” Tnn., “maziwa.”

1 Samweli 17:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:2; 21:9
  • +1 Sa. 9:16, 17

1 Samweli 17:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:17, 18

1 Samweli 17:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:4
  • +1 Sa. 17:10

1 Samweli 17:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:11

1 Samweli 17:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “anatafuta kupigana na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:10
  • +Yosh. 15:16; 1 Sa. 14:49; 18:17, 21

1 Samweli 17:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “atafute kupigana na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:10; Yer 10:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 10

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2006, uku. 8

1 Samweli 17:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:6, 7; 1Nya 2:13
  • +1 Sa. 17:20

1 Samweli 17:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:26
  • +1 Sa. 17:25

1 Samweli 17:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “asiogope.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 10-11

1 Samweli 17:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwanaume wa vita.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:42

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 11

1 Samweli 17:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 31:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 27

1 Samweli 17:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utaya wake.” Tnn., “ndevu zake.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 10

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 27

1 Samweli 17:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ametafuta kupigana na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:10; Yer 10:10

1 Samweli 17:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:21; 2 Fal. 6:16; Ebr 11:32-34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 11

1 Samweli 17:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 11

1 Samweli 17:39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 11

1 Samweli 17:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la muto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 20:15, 16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 11

1 Samweli 17:41

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 12

1 Samweli 17:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:12; 17:33

1 Samweli 17:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:14; 2 Sa. 16:9; 2 Fal. 8:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 11

1 Samweli 17:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “umetafuta kupigana naye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:4, 6
  • +2 Sa. 5:10; Ebr 11:32-34
  • +1 Sa. 17:10; 2 Fal. 19:22

1 Samweli 17:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:1-3; Yosh. 10:8
  • +Kut 9:16; Kum 28:10; 1 Fal. 8:43; 2 Fal. 19:19; Da. 3:29

1 Samweli 17:47

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na kutaniko hili lote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 44:6, 7; Zek 4:6
  • +2Nya 20:15; Mez. 21:31
  • +Kum 20:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 12

1 Samweli 17:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:37; 2 Sa. 21:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2016 uku. 12

1 Samweli 17:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:31; 15:15, 16; 1 Sa. 17:47

1 Samweli 17:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 21:9
  • +Kum 28:7; Yosh. 23:10; Ebr 11:32-34

1 Samweli 17:52

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:2, 19
  • +Yosh. 15:20, 45
  • +Yosh. 15:20, 36

1 Samweli 17:54

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 21:9

1 Samweli 17:55

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Kwa uzima wa nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:50
  • +1 Sa. 16:19, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2005, uku. 23-24

1 Samweli 17:57

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:54

1 Samweli 17:58

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ru 4:22; 1 Sa. 16:1; 1Nya 2:13, 15; Mt 1:6; Lu 3:23, 32; Mdo 13:22
  • +1 Sa. 17:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/8/2007, uku. 19

    1/8/2007, uku. 31

Maandiko ingine

1 Sam. 17:1Amu 3:1, 3; 1 Sa. 9:16; 14:52
1 Sam. 17:12Nya 28:18
1 Sam. 17:1Yosh. 15:20, 35; Yer 34:7
1 Sam. 17:11Nya 11:12, 13
1 Sam. 17:21 Sa. 21:9
1 Sam. 17:41 Sa. 17:23
1 Sam. 17:4Yosh. 11:22; 2 Sa. 21:20, 21
1 Sam. 17:51 Sa. 17:38, 39; 1 Fal. 22:34
1 Sam. 17:61 Sa. 17:45
1 Sam. 17:71Nya 20:5
1 Sam. 17:8Hes 33:55
1 Sam. 17:101 Sa. 17:26; 2 Fal. 19:22
1 Sam. 17:12Mwa 35:16, 19; Ru 1:2
1 Sam. 17:121 Sa. 17:58; Mik 5:2; Mt 2:6
1 Sam. 17:12Ru 4:22
1 Sam. 17:121Nya 2:13-15
1 Sam. 17:13Hes 1:3
1 Sam. 17:131 Sa. 16:6
1 Sam. 17:131 Sa. 16:8
1 Sam. 17:131 Sa. 16:9
1 Sam. 17:141Nya 2:13, 15
1 Sam. 17:151 Sa. 16:11, 19
1 Sam. 17:191 Sa. 17:2; 21:9
1 Sam. 17:191 Sa. 9:16, 17
1 Sam. 17:221 Sa. 17:17, 18
1 Sam. 17:231 Sa. 17:4
1 Sam. 17:231 Sa. 17:10
1 Sam. 17:241 Sa. 17:11
1 Sam. 17:251 Sa. 17:10
1 Sam. 17:25Yosh. 15:16; 1 Sa. 14:49; 18:17, 21
1 Sam. 17:261 Sa. 17:10; Yer 10:10
1 Sam. 17:281 Sa. 16:6, 7; 1Nya 2:13
1 Sam. 17:281 Sa. 17:20
1 Sam. 17:301 Sa. 17:26
1 Sam. 17:301 Sa. 17:25
1 Sam. 17:321 Sa. 16:18
1 Sam. 17:331 Sa. 17:42
1 Sam. 17:34Isa 31:4
1 Sam. 17:361 Sa. 17:10; Yer 10:10
1 Sam. 17:37Kum 7:21; 2 Fal. 6:16; Ebr 11:32-34
1 Sam. 17:40Amu 20:15, 16
1 Sam. 17:421 Sa. 16:12; 17:33
1 Sam. 17:431 Sa. 24:14; 2 Sa. 16:9; 2 Fal. 8:13
1 Sam. 17:451 Sa. 17:4, 6
1 Sam. 17:452 Sa. 5:10; Ebr 11:32-34
1 Sam. 17:451 Sa. 17:10; 2 Fal. 19:22
1 Sam. 17:46Kum 9:1-3; Yosh. 10:8
1 Sam. 17:46Kut 9:16; Kum 28:10; 1 Fal. 8:43; 2 Fal. 19:19; Da. 3:29
1 Sam. 17:47Zab 44:6, 7; Zek 4:6
1 Sam. 17:472Nya 20:15; Mez. 21:31
1 Sam. 17:47Kum 20:4
1 Sam. 17:491 Sa. 17:37; 2 Sa. 21:22
1 Sam. 17:50Amu 3:31; 15:15, 16; 1 Sa. 17:47
1 Sam. 17:511 Sa. 21:9
1 Sam. 17:51Kum 28:7; Yosh. 23:10; Ebr 11:32-34
1 Sam. 17:521 Sa. 17:2, 19
1 Sam. 17:52Yosh. 15:20, 45
1 Sam. 17:52Yosh. 15:20, 36
1 Sam. 17:541 Sa. 21:9
1 Sam. 17:551 Sa. 14:50
1 Sam. 17:551 Sa. 16:19, 21
1 Sam. 17:571 Sa. 17:54
1 Sam. 17:58Ru 4:22; 1 Sa. 16:1; 1Nya 2:13, 15; Mt 1:6; Lu 3:23, 32; Mdo 13:22
1 Sam. 17:581 Sa. 17:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 17:1-58

Cha Kwanza cha Samweli

17 Na Wafilisti+ wakakusanya majeshi yao* kwa ajili ya vita. Walikusanyika kule Soko,+ muji wa Yuda, na walipiga kambi katikati ya Soko na Azeka,+ kule Efes-damimu.+ 2 Sauli na watu wa Israeli wakakusanyika na kupiga kambi katika Bonde* la Ela,+ na wakajipanga kwa ajili ya vita ili kukutana na Wafilisti. 3 Wafilisti walikuwa upande mumoja wa mulima, na Waisraeli walikuwa upande mwingine wa mulima, na bonde lilikuwa katikati yao.

4 Kisha shujaa mumoja akatoka katika kambi za Wafilisti; jina lake lilikuwa Goliati,+ wa muji wa Gati,+ na urefu wake ulikuwa mikono sita (6) na shubiri moja.* 5 Alikuwa na kofia ya shaba juu ya kichwa chake, na alikuwa anavaa koti ya chuma yenye magamba yenye kuingiana-ingiana. Uzito wa koti hiyo ya chuma+ ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano (5 000).* 6 Alikuwa na mabamba ya shaba yenye yalilinda miguu yake na mukuki mudogo+ wa shaba ulininginia katikati ya mabega yake. 7 Mupini wa muti wa mukuki wake ulikuwa kama muti wa wasukaji wa nguo,+ na kichwa cha chuma cha mukuki wake kilikuwa na uzito wa shekeli mia sita (600);* na mubeba-ngao wake alitembea mbele yake. 8 Basi akasimama na kuita kikundi cha wapiganaji cha Israeli+ na kuwaambia: “Sababu gani mumekuja kujipanga kwa ajili ya vita? Je, mimi siko Mufilisti, na ninyi je, hamuko watumishi wa Sauli? Mujichagulie mwanaume, na ashuke kuja kwangu. 9 Kama anaweza kupigana na mimi na anipige na kuniua, basi tutakuwa watumishi wenu. Lakini kama ninamushinda na kumupiga na kumuua, mutakuwa watumishi wetu na mutatutumikia.” 10 Kisha Mufilisti huyo akasema: “Ninachokoza* kikundi cha wapiganaji cha Israeli+ leo. Munipatie mwanaume, na tupigane naye!”

11 Wakati Sauli na Israeli wote walisikia maneno hayo ya Mufilisti huyo, wakakuwa na hofu na wakaogopa sana.

12 Sasa Daudi alikuwa mwana wa Mwefrati+ wa muji wa Betlehemu+ wa Yuda mwenye aliitwa Yese,+ mwenye alikuwa na wana munane (8)+ na mwenye alikuwa tayari amezeeka katika siku za Sauli. 13 Wana watatu (3) wakubwa zaidi wa Yese walikuwa wamemufuata Sauli katika vita.+ Majina ya wana wake watatu wenye walienda katika vita yalikuwa Eliabu+ muzaliwa wa kwanza, mwana wake wa pili Abinadabu,+ na wa tatu Shamma.+ 14 Daudi ndiye alikuwa mudogo zaidi,+ na wale watatu (3) wakubwa zaidi walimufuata Sauli.

15 Daudi alikuwa anaenda na kurudia kutoka kwa Sauli ili kuchunga kondoo+ wa baba yake kule Betlehemu. 16 Wakati huo, Mufilisti huyo alikuwa anakuja mbele na kusimama mahali pake kila asubui na kila mangaribi kwa siku makumi ine (40).

17 Kisha Yese akamuambia Daudi mwana wake: “Tafazali, kamata efa* hii ya nafaka yenye kukaangwa na mikate hii kumi (10), na uvipelekee haraka ndugu zako katika kambi. 18 Na umupelekee mukubwa wa elfu mafungu haya kumi (10) ya jibini;* pia, utaangalia hali ya ndugu zako na uniletee alama fulani kutoka kwao.” 19 Walikuwa pamoja na Sauli na wanaume wengine wote wa Israeli katika Bonde* la Ela,+ wakipigana na Wafilisti.+

20 Kwa hiyo Daudi akaamuka asubui sana na kuacha kondoo katika mikono ya mutu fulani; kisha akapakiza vitu hivyo na kuenda kama vile Yese alikuwa amemuamuru. Wakati alifika katika kiwanja cha kambi, jeshi lilikuwa likienda kwenye kiwanja cha mapigano, likifanya makelele ya vita. 21 Israeli na Wafilisti wakajipanga kwa ajili ya vita ili kikundi kimoja cha wapiganaji kielekee kikundi kingine cha wapiganaji. 22 Mara moja Daudi akaacha mizigo yake katika mikono ya muchunga-mizigo na akakimbia kuenda kwenye kiwanja cha mapigano. Wakati alifika, akaanza kuuliza hali ya ndugu zake.+

23 Wakati alikuwa anazungumuza nao, kukatokea ule Mufilisti shujaa mwenye aliitwa Goliati,+ wa Gati. Alitoka katika kikundi cha wapiganaji Wafilisti, na akasema maneno yaleyale yenye alisema mbele,+ na Daudi akamusikia. 24 Wakati wanaume wote wa Israeli walimuona mwanaume huyo, wakaogopa sana na kumukimbia.+ 25 Wanaume wa Israeli walikuwa wanasema: “Je, munamuona ule mwanaume mwenye iko* anakuja? Anakuja kuchokoza* Israeli.+ Mufalme atamupatia utajiri mwingi mutu mwenye atamuua mwanaume huyo, atamupatia pia binti yake mwenyewe,+ na ataondoa masharti juu ya nyumba ya baba yake katika Israeli.”

26 Daudi akaanza kuambia wanaume wenye walikuwa wamesimama karibu naye: “Mutu mwenye ataua ule Mufilisti na kuondoa haya juu ya Israeli atafanyiwa nini? Kwa kweli huyu Mufilisti mwenye hatahiriwe ni nani ili achokoze* kikundi cha wapiganaji cha Mungu mwenye kuishi?”+ 27 Basi watu hao wakamuambia jambo lilelile lenye lilisemwa mbele: “Ni hivi atafanyiwa mwanaume mwenye atamuua.” 28 Wakati Eliabu ndugu yake mukubwa zaidi+ alimusikia Daudi akizungumuza na wanaume hao, akamukasirikia Daudi na kusema: “Sababu gani umeshuka? Na wale kondoo kidogo katika jangwa uliwaachia nani?+ Ninajua muzuri kimbelembele chako na nia mubaya ya moyo wako; umeshuka tu ili kuangalia mapigano.” 29 Basi Daudi akamuambia: “Sasa nimefanya nini? Nilikuwa tu ninauliza ulizo!” 30 Kwa hiyo Daudi akamuacha na kugeuka kuelekea mutu mwingine na akamuuliza jambo lilelile lenye aliuliza mbele,+ na watu wakamupatia jibu lilelile lenye alipewa mbele.+

31 Maneno yenye Daudi alikuwa amesema yalisikiwa na yaliripotiwa kwa Sauli. Kwa hiyo Sauli akamuitisha. 32 Daudi akamuambia Sauli: “Mutu yeyote asivunjike moyo* kwa sababu yake. Mutumishi wako ataenda kupigana na Mufilisti huyo.”+ 33 Lakini Sauli akamuambia Daudi: “Hauwezi kuenda kupigana na Mufilisti huyo, kwa sababu wewe ni kijana tu,+ naye amekuwa askari* tangu ujana wake.” 34 Kisha Daudi akamuambia Sauli: “Mutumishi wako amekuwa muchungaji wa kundi la baba yake, na simba+ akakuja, na pia dubu, na kila mumoja wao akabeba kondoo katika kundi. 35 Nilimufuata na nikamupiga na kumuua na kumuokoa kondoo katika kinywa chake. Wakati aliruka ili kunishambulia, nilimukamata kwa manyoya yake,* na kumupiga na kumuua. 36 Mutumishi wako alipiga na kuua simba na dubu pia, na huyu Mufilisti mwenye hatahiriwe atakuwa kama mumoja wao, kwa sababu amechokoza* vikundi vya wapiganaji vya Mungu mwenye kuishi.”+ 37 Kisha Daudi akaongeza: “Yehova, mwenye aliniokoa kutoka katika makucha ya simba na ya dubu, ndiye ataniokoa kutoka katika mukono wa Mufilisti huyu.”+ Basi Sauli akamuambia Daudi: “Uende, na Yehova akuwe pamoja na wewe.”

38 Basi Sauli akamuvalisha Daudi nguo zake. Akatia kofia ya shaba juu ya kichwa chake, kisha akamuvalisha koti ya chuma. 39 Kisha Daudi akafunga upanga wake juu ya nguo zake na akajaribu kutembea lakini hakuweza kwa sababu hakukuwa amevizoea. Daudi akamuambia Sauli: “Siwezi kuenda nikiwa nimevaa vitu hivi, kwa maana sivizoee.” Kwa hiyo Daudi akavitosha. 40 Kisha akakamata fimbo yake katika mukono wake na akajichagulia majiwe laini tano (5) katika sehemu ya chini ya muto mudogo* na kuyatia katika kifuko cha mufuko wake wa muchungaji, na kombeo lake+ lilikuwa katika mukono wake. Na akaanza kumukaribia Mufilisti huyo.

41 Mufilisti huyo akaanza kumukaribia Daudi zaidi na zaidi, na mubeba-ngao wake alikuwa mbele yake. 42 Wakati Mufilisti huyo aliangalia na kumuona Daudi, akamuchekelea kwa zarau kwa sababu alikuwa tu kijana mwekundu na mwenye sura ya muzuri.+ 43 Kwa hiyo Mufilisti huyo akamuambia Daudi: “Je, mimi niko imbwa,+ ndiyo maana unakuja na fimbo ili kupigana na mimi?” Basi Mufilisti huyo akamulaani Daudi kwa jina la miungu yake. 44 Mufilisti huyo akamuambia Daudi: “Nikaribie tu, na nyama yako nitaipatia ndege wa mbinguni na wanyama wa pori.”

45 Daudi akamujibu Mufilisti huyo: “Unakuja kupigana na mimi ukiwa na upanga na mukuki mukubwa na mukuki mudogo,+ lakini mimi nakuja kupigana na wewe katika jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa kikundi cha wapiganaji cha Israeli, mwenye umechokoza.*+ 46 Leo hii Yehova atakutia wewe katika mukono wangu,+ na nitakupiga na kukuua na kukata kichwa chako; na siku ya leo nitapatia ndege wa mbinguni na wanyama wa pori wa dunia maiti za kambi ya Wafilisti; na watu wa dunia yote watajua kwamba kuko Mungu katika Israeli.+ 47 Na watu wote wenye kukusanyika hapa* watajua kwamba Yehova haokoe kwa upanga wala kwa mukuki,+ kwa sababu vita ni ya Yehova,+ na atawatia ninyi wote katika mukono wetu.”+

48 Kisha Mufilisti huyo akasimama na akaendelea kukaribia ili akutane na Daudi, lakini Daudi akakimbia haraka kuelekea kwenye kiwanja cha mapigano ili kukutana na Mufilisti huyo. 49 Daudi akaingiza mukono wake ndani ya mufuko wake na kukamata ndani jiwe na kulitupa kwa kombeo. Akamupiga Mufilisti huyo katika paji la uso, na jiwe hilo likaingia katika paji la uso wake na akaanguka uso chini kwenye udongo.+ 50 Kwa hiyo Daudi akamushinda Mufilisti huyo kwa kutumia kombeo na jiwe; alimupiga Mufilisti huyo na kumuua, hata kama upanga wowote haukukuwa katika mukono wa Daudi.+ 51 Daudi akaendelea kukimbia na akasimama juu yake. Kisha akashika upanga wa Mufilisti huyo+ na kuutosha katika mufuko wake wa upanga na akahakikisha kwamba amekufa kwa kumukata kichwa na upanga huo. Wakati Wafilisti waliona kwamba mupiganaji wao mwenye nguvu amekufa, wakakimbia.+

52 Basi wanaume wa Israeli na Yuda wakasimama na kuanza kufanya makelele na kufuatilia Wafilisti katika njia yote kuanzia bonde+ mupaka kwenye milango mikubwa ya Ekroni,+ na maiti za Wafilisti wenye waliuawa zilikuwa zimeanguka kwenye barabara kuanzia Shaaraimu,+ mupaka Gati na Ekroni. 53 Wakati Waisraeli walikuwa wamerudia kisha kufuatilia kwa ukali Wafilisti, walinyanganya vitu katika kambi zao.

54 Kisha Daudi akakamata kichwa cha Mufilisti huyo na kukileta Yerusalemu, lakini akaweka silaha za Mufilisti huyo ndani ya hema yake mwenyewe.+

55 Wakati Sauli alimuona Daudi akienda kupigana na Mufilisti huyo, alimuambia Abneri,+ mukubwa wa jeshi: “Abneri, kijana huyu ni mwana wa nani?”+ Abneri akajibu: “Kama vile hakika unaishi,* Ee mufalme, mimi sijue!” 56 Mufalme akasema: “Tafuta kujua kama kijana huyu mwanaume ni mwana wa nani.” 57 Kwa hiyo wakati tu Daudi alirudia kisha kumupiga na kumuua Mufilisti huyo, Abneri alimuchukua na kumupeleka mbele ya Sauli akiwa na kichwa cha Mufilisti huyo+ katika mukono wake. 58 Basi Sauli akamuambia: “Wewe kijana, uko mwana wa nani?” Daudi akasema: “Mwana wa mutumishi wako Yese+ Mubetlehemu.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine